Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 9:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Baadhi ya waalimu wa sheria wakaanza kufikiri, “Mtu huyu anamkufuru Mungu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Baadhi ya waalimu wa sheria wakaanza kufikiri, “Mtu huyu anamkufuru Mungu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Baadhi ya waalimu wa sheria wakaanza kufikiri, “Mtu huyu anamkufuru Mungu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kwa ajili ya jambo hili, baadhi ya walimu wa Torati wakasema mioyoni mwao, “Huyu mtu anakufuru!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kwa ajili ya jambo hili, baadhi ya walimu wa Torati wakasema mioyoni mwao, “Huyu mtu anakufuru!”

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Marra kuhani mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru: tuna haja gani ya mashahidi wengine? Sasa mmesikia kufuru yake:


kwa maana alikuwa akiwafundisha kwa namna ya mwenye mamlaka, wala si kama waandishi wao.


Mmesikia kufuru yake; mwaonaje? Wote wakamhukumu kuwa amepasiwa kufa.


Amin, nawaambieni, Dbambi zote watasamehewa wana Adamu, na kufuru zao watakazokufuru zote;


bali mtu atakaemkufuru Roho Mtakatifu hana masamaha hatta milele; bali atakuwa ana dhambi ya milele;


Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, zina, asharati,


Wale waandishi na Mafarisayo wakaanza kutafakari wakanena, Nani huyu anaesema kufuru? Nani awezae kuondoa dhambi, isipokuwa mmoja ndiye Mungu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo