Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 9:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Zikaenea khabari hizi katika inchi ile yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Habari hizi zikaenea katika maeneo yale yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Habari hizi zikaenea katika maeneo yale yote.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Khabari zake zikaenea katika Sham yote; wakamletea watu waliokuwa hawawezi, walioshikwa mi maradhi mbali mbali na mateso, nao wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Lakini wakatoka, wakaeneza khabari zake katika inchi ile yote.


Khahari zake zikaenea marra inchi zote kando ya Galilaya.


Nae akatoka, akaanza kukhubiri mengi, na kulitangaza lile neno, hatta Yesu asiweze tena kuingia mjini kwa wazi; bali alikuwa nje mabali pasipo watu; wakamwendea kutoka killa pahali.


Mfalme Herode akasikia khabari; kwa maana jina lake limepata kutangaa, akanena, Yohana Mbatizaji amefufuka, na kwa hiyo nguvu hizi zinatenda kazi ndani yake. Wengine walinena, Yu Eliya.


Yesu akarudi kwa nguvu za Roho hatta Galilaya, khabari zake zikaenea katika inchi yote iliyo kando kando.


Khabari zake zikaenea katika inchi zilizo kando kando killa pahala.


Lakini khabari zake zikazidi kuenea, wakakutana makutano mengi kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.


Zikatoka hizo khabari zake katika Yahudi yote, na katika inchi yote iliyozunguka.


Kwa maana mfalme anajua khabari za mambo haya, na naweza kusema nae bila khofu, kwa sababu najua sana ya kuwa hapana neno moja katika hayo asilolijua; kwa maana jambo hilo halikutendeka pembeni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo