Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 9:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Hatta makutano walipoondoshwa, akaingia, akamshika mkono wake; yule kijana akasimama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

marra wakamwambia khahari zake: akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akawakhudumia.


Akamshika mkono yule kijana, akamwambla, Talitha, kumi: tafsiri yake, Kijana, nakuambia, Ondoka.


Akamshika mkono vule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate ya macho, akaweka mikono yake juu yake, akamwuliza, Waona kitu?


Lakini Yesu akamshika mkouo akamwinua; nae akasimama.


Nae akawatoa nje wote, akamshika mkono wake, akapaaza sauti yake, akisema, Kijana, ondoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo