Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 9:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 akawaambia, Ondokeni: kwa maana kijana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 akawaambia, “Ondokeni! Kwa maana binti huyu hakufa, bali amelala.” Wakamcheka kwa dhihaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 akawaambia, “Ondokeni! Kwa maana binti huyu hakufa, bali amelala.” Wakamcheka kwa dhihaka.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:24
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nae alipokwisha kuwatoa nje wote, akamtwaa baba yake yule mtoto na mama yake, na wale walio pamoja nae, akaingia ndani alimokuwamo yule mtoto.


Wakamcheka sana, wakijua ya kuwa amekwisha kufa.


Yesu aliposikia, alisema, Ugonjwa huu si wa mauti, bali kwa ajili ya utukufu wake Mungu, illi Mwana wa Mungu atukuzwe kwa huo.


Paolo akashuka, akamwangukia, akamkumbatia, akasema, Msifanye ghasia, maana uzima wake ungalimo ndani yake.


Petro akawatoa wote, akapiga magoti, akaomba, akaielekea mayiti, akanena, Tabitha, ondoka. Nae akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo