Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 9:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 kwa maana alisema kimoyomoyo, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 kwa maana alisema moyoni mwake, “Nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

wakamsihi waguse hatta pindo la vazi lake; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.


Maana aliponya wengi, hatta wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.


Makutano yote wakatafuta kumgusa: kwa maana nguvu zilikuwa zikimtoka, zikawaponya wote.


hatta wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizogusa mwili wake, magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo