Mathayo 8:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Pepo wakamsihi, wakinena, Ukitufukuza, tuache twende, tukaingie katika kundi la nguruwe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Basi, hao pepo wakamsihi, “Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Basi, hao pepo wakamsihi, “Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Basi, hao pepo wakamsihi, “Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Wale pepo wachafu wakamsihi Isa, “Ukitutoa humu, turuhusu twende kwenye lile kundi la nguruwe.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Wale pepo wachafu wakamsihi Isa, “Ukitutoa humu, turuhusu twende kwenye lile kundi la nguruwe.” Tazama sura |