Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 8:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Pepo wakamsihi, wakinena, Ukitufukuza, tuache twende, tukaingie katika kundi la nguruwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Basi, hao pepo wakamsihi, “Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Basi, hao pepo wakamsihi, “Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Basi, hao pepo wakamsihi, “Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Wale pepo wachafu wakamsihi Isa, “Ukitutoa humu, turuhusu twende kwenye lile kundi la nguruwe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Wale pepo wachafu wakamsihi Isa, “Ukitutoa humu, turuhusu twende kwenye lile kundi la nguruwe.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 8:31
9 Marejeleo ya Msalaba  

Khabari zake zikaenea katika Sham yote; wakamletea watu waliokuwa hawawezi, walioshikwa mi maradhi mbali mbali na mateso, nao wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararueni.


Bassi, kulikuwako mbali kundi la nguruwe wengi wakilisha.


Akawaambia. Nendeni. Wakatoka, wakaingia katika kundi la nguruwe: na, kumbe! kundi lote la nguruwe likatelemka kwa kassi gengeni, wakaingia baharini, wakafa majini.


Pepo wote wakamsihi, wakinena, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.


akalia kwa sauti kuu akanena, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, uniapie kwa Mungu kwamba hutaniadhibu.


Kwa hiyo shangilieni, mbingu, nanyi mkaao humo. Ole wa inchi na bahari: kwa maana yule msingiziaji ameshuka kwao mwenye hasira nyingi, akijua ya kuwa ana wakati si mwingi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo