Mathayo 8:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192127 Wale watu wakastaajabu, wakinena. Huyo ni mtu wa namna gani hatta pepo na bahari zamtii? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Watu wakashangaa, wakasema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na bahari vinamtii!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Watu wakashangaa, wakasema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na bahari vinamtii!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Watu wakashangaa, wakasema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na bahari vinamtii!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Wale watu wakashangaa, wakisema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata upepo na mawimbi vinamtii!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Wale watu wakashangaa, wakisema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata upepo na mawimbi vinamtii!” Tazama sura |