Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 8:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwamsha, wakinena, Bwana, tuokoe tunaangamia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Wanafunzi wakamwendea, wakamwamsha wakisema, “Bwana, tuokoe, tunaangamia!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Wanafunzi wakamwendea, wakamwamsha wakisema, “Bwana, tuokoe, tunaangamia!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Wanafunzi wakamwendea, wakamwamsha wakisema, “Bwana, tuokoe, tunaangamia!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Wanafunzi wake wakamwendea na kumwamsha, wakisema, “Bwana, tuokoe! Tunazama!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Wanafunzi wake wakamwendea na kumwamsha, wakisema, “Bwana, tuokoe! Tunazama!”

Tazama sura Nakili




Mathayo 8:25
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akaja mwenye ukoma akamsujudu, akinena, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Kukawa msukosuko mkuu baharini, hatta chombo kikafunikizwa na mawimbi: nae alikuwa amelala.


Alipokuwa akiwaambia haya, yuaja jumbe mmoja, akamsujudia, akinena, Binti yangu udio kwanza afe: lakini njoo, uweke mkono wako juu yake, uae atapona.


Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Mwalimu, Mwalimu, tunaangamia. Akaondoka, akaukemea upepo, na msukosuko wa maji, vikakoma, kukawa shwari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo