Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 8:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Lakini Isa akamwambia, “Nifuate, uwaache wafu wawazike wafu wao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Lakini Isa akamwambia, “Nifuate, uwaache wafu wawazike wafu wao.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 8:22
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mwingine katika wanafunzi wake akamwambia, Bwana, nipe rukhusa kwanza, niende nikamzike baba yangu.


Yesu alipokuwa anaondoka kutoka huko akaona mtu amekeli fordhani, aitwae Mattayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.


Hatta alipokuwa akipita akamwona Lawi wa Alfayo, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate. Akaondoka akamfuata.


Kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana. Wakaanza kufanya furaha.


Tena kufanya furaha na kuona furaha kulikuwa wajib, kwa maana huyu ndugu yako alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana.


Akamwambia mwingine, Nifuate. Akasema, Bwana, nipe rukhusa niende kwanza, nikamzike baba yangu.


Akamwambia, Waache wafu wazike wafu wao, bali wewe enenda zako ukautangaze ufalme wa Mungu.


Siku ya pili yake Yesu akataka kuondoka kwenda Galilaya, akamwona Filipo, akamwambia, Nifuate.


Akasema hili kwa kuonyesha ni mauti gani atakayomtukuza Mungu. Na akiisha kusema haya, akamwambia, Nifuate.


Yesu akamwambia, Nikitaka huyu akae hatta nijapo imekukhusu nini? wewe unifuate mimi.


NA ninyi, mlipokmva wafu kwa sababu ya makosa yenu na dhambi zemi,


hatta wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu, alituhuisha pamoja na Kristo (mmeokolewa kwa neema);


Kwa biyo anena, Amka, wewe usinziae, kafufuka, na Kristo atakuangaza.


Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hayi pamoja nae, akiisba kuwasameheni makosa yote;


Na yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hayi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo