Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 8:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Mwingine katika wanafunzi wake akamwambia, Bwana, nipe rukhusa kwanza, niende nikamzike baba yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 8:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na killa mtu aliyeacha nyumba, au ndugu waume, au ndugu wake, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea marra mia, na kurithi uzima wa milele.


Yesu akamwambia, Mbweha wana matundu, na ndege za anga vituo; bali Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.


Hatta imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awae yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemjua Kristo kwa jinsi ya mwili, sasa lakini hatumjui hivi tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo