Mathayo 8:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 Akaja mwenye ukoma akamsujudu, akinena, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Basi, akaja mtu mmoja mwenye ukoma, akamsujudia na kusema, “Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Basi, akaja mtu mmoja mwenye ukoma, akamsujudia na kusema, “Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Basi, akaja mtu mmoja mwenye ukoma, akamsujudia na kusema, “Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Mtu mmoja mwenye ukoma akaja na kupiga magoti mbele yake, akasema, “Bwana, ukitaka, unaweza kunitakasa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Mtu mmoja mwenye ukoma akaja na kupiga magoti mbele yake, akasema, “Bwana, kama ukitaka, unaweza kunitakasa.” Tazama sura |