Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 8:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Akamgusa mkono wake, homa ikamwacha; nae akaondoka, akawatumikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.

Tazama sura Nakili




Mathayo 8:15
15 Marejeleo ya Msalaba  

wakamsihi waguse hatta pindo la vazi lake; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.


Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; marra macho yao yakapata kuona, wakamfuata.


Hatta Yesu alijiofika nyumbani kwa Petro, akamwona mama wa mkewe amelala hawezi homa.


Ilipokuwa jioni, wakamletea wengi wenye pepo: akawafukuza pepo kwa neno lake, akawaponya wote waliokuwa hawawezi,


Yesu akanyosha mkono wake, akamgusa, akinena, Nataka: takasika. Marra ukoma wake ukatakasika.


Na mwanamke, aliyekuwa na ugonjwa wa kutoka damu muda wa miaka thenashara, alikuja kwa nyuma, akagusa upindo wa vazi lake:


Marra akawagusa macho yao, akanena, Kwa kadiri ya imani yenu mpate.


Marra walipotoka katika sunagogi, wakalika nyumbani kwa Simon na Andrea, pamoja na Yakobo na Yohana.


Yesu akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika.


Nae akawatoa nje wote, akamshika mkono wake, akapaaza sauti yake, akisema, Kijana, ondoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo