Mathayo 8:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje; ndiko kutakuwa kilio na kusaga meno. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Lakini wale ambao ufalme huo ni wao watatupwa nje, gizani, ambako watalia na kusaga meno.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Lakini wale ambao ufalme huo ni wao watatupwa nje, gizani, ambako watalia na kusaga meno.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Lakini wale ambao ufalme huo ni wao watatupwa nje, gizani, ambako watalia na kusaga meno.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Lakini warithi wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ambako kutakuwa kilio na kusaga meno.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Lakini warithi wa Ufalme watatupwa katika giza la nje, ambako kutakuwako kilio na kusaga meno.” Tazama sura |