Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 7:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 kwa maaua killa aombae hupokea; nae atafutae huona, nae abishae alafunguliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.

Tazama sura Nakili




Mathayo 7:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ombeni na mtapewa; tafuteni na mtaona; bisheni na mtafunguliwa:


Au mtu yupi katika ninyi, ambae, mwanawe akimwomba mkate, atampa jiwe?


Kwa sababu killa aombae hupewa: nae atafutae hupata: nae abishae hufunguliwa.


Yesu nae akaitwa pamoja na wanafunzi wake arusini.


Bwana akamwambia, Simama, enenda zako katika njia iitwayo Sawa, ukatafute ndani ya nyumba ya Yuda mtu jina lake Saul, wa Tarso: maana yuko anasali:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo