Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 7:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 kwa maana alikuwa akiwafundisha kwa namna ya mwenye mamlaka, wala si kama waandishi wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria.

Tazama sura Nakili




Mathayo 7:29
23 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akaja kwao, akasema nao, akinena, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na juu ya dunia.


Maana nawaambieni, Haki yenu isipozidi kuliko haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.


Bali mimi miwaambieni, Killa mtu atazamae mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini nae moyoni mwake.


bali mimi nawaambieni, Killa mtu amwachae mkewe, isipokuwa kwa khabari ya asharati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.


bali mimi nawaambieni, Wapendeni adui zenu, wabarikini wanaowalaani, watendeni mema wanaowachukia, waombeeni wanaowatendea ukorofi, na kuwatesa;


Ikawa, Yesu alipomaliza maneno haya, makutano wakashangaa kwa mafundisho yake:


ALIPOSHUKA mlimani, makutano mengi walimfuata.


Yesu akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninatenda haya.


Kwa maana mimi nitawapeni kinywa na hekima, ambayo watesi wenu hawataweza kuikana wala kushindana nayo.


lakini hawakuweza kushindana na hekima yake wala na Roho aliyosema nayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo