Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 7:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwafahamu ninyi wakati wo wote: ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hapo nitawaambia: ‘Sikuwajua nyinyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hapo nitawaambia: ‘Sikuwajua nyinyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hapo nitawaambia: ‘Sikuwajua nyinyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Ndipo nitakapowaambia wazi, ‘Sikuwajua kamwe. Ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Ndipo nitakapowaambia wazi, ‘Sikuwajua kamwe. Ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!’

Tazama sura Nakili




Mathayo 7:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akasema, Amin, nawaambieni, siwajui ninyi.


Kisha atawaambia na wale walio mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, kwenda katika moto wa milele, aliowekewa tayari Shetani na malaika zake:


Tokea wakati ule atakapoondoka mwenye nyumba na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkinena, Bwana, Bwana! utufungulie; nae akajibu, akawaambieni, Siwajui mtokako;


nae atasema, Nawaambieni, Siwajui mtokako: ondokeni mbali nami, ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.


Mimi ndimi niliye mchunga aliye mwema; na walio wangu nawajua, na walio wangu wananijua,


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake; tena, killa alilajae jina la Bwana na aache uovu.


Bali nje wako mbwa na wachawi na wazinzi na wauaji nao waabuduo sanamu, na killa mtu apendae uwongo na kuufanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo