Mathayo 7:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Bali njia ni nyembamba iendayo hatta uzima, na mlango wake ni mwembamba: nao waionao ni wachache. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini mlango ni mwembamba na njia ni finyu ielekeayo kwenye uzima, nao ni wachache tu waionao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini mlango ni mwembamba na njia ni finyu ielekeayo kwenye uzima, nao ni wachache tu waionao. Tazama sura |