Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 6:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 kwa maana ilipo hazina yenu, ndipo utakapokuwa na moyo wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo pia moyo wako utakapokuwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo pia moyo wako utakapokuwa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 6:21
14 Marejeleo ya Msalaba  

Uzao wa nyoka, mwawezaje kusema mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.


Taa ya mwili ni jicho; bassi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru.


Kwa maana hazina yenu ilipo ndipo na itakapokuwa na mioyo yenu.


Huna fungu wala huna sehemu katika jambo hili, kwa kuwa moyo wako si mnyofu mbele ya Mungu.


tusiviangalie vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Kwa maana vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.


Mimi Paoio nimeandika kwa mkouo waugu mweuyewe, nitalipa. Sikuambii kwamba wawiwa nami hatta nafsi yako.


Neema lwe nanyi na amani zitokazo kwa Mungu, baba yetu, tta kwa Bwana Yesu Kristo.


Angalieni, ndugu zangu, usiwe katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutokuamini, kwa kujitenga na Mungu aliye hayi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo