Mathayo 6:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Kwa kuwa wako ni ufalme, na nguvu, na utukufu, hatta milele. Amin. Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nanyi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 “Maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nyinyi pia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 “Maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nyinyi pia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 “Maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nyinyi pia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kwa kuwa mkiwasamehe watu wengine wanapowakosea, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kwa kuwa kama mkiwasamehe watu wengine wanapowakosea, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia. Tazama sura |