Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 6:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Utusamehe deni zetu, kama sisi tunavyowasamehe wadeni wetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tulivyokwisha kuwasamehe wadeni wetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tulivyokwisha kuwasamehe wadeni wetu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 6:12
25 Marejeleo ya Msalaba  

maana hii ni damu yangu ya agano jipya, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


Wakamletea mgonjwa wa kupooza, amelala kitandani: na Yesu, akiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa wa kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanaugu; umeondolewa dhambi zako.


Nanyi, killa msimamapo na kusali, sameheni, kama mkiwa na neno juu ya mtu: illi Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu.


Utupe leo riziki zetu. Utusamehe dhambi zetu, kwa maana sisi nasi tunamsamehe killa mtu anaewiwa nasi. Usituingize majaribuni, hali utuokoe na yule mwovu.


Au wale kumi na wanane walioangukiwa na mnara katika Siloam, ukawaangamiza, mwadhani ya kuwa walikuwa wakosaji kuliko watu wote wakaao Yerusalemi?


msipatilize, nanyi hamtapatilizwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa.


Bassi, ibainike kwenu, ndugu, ya kuwa kwa huyu mnakhubiriwa ondoleo la dhambi;


Katika yeye tuna ukombozi kwa damu yake, masamaha ya dhambi, kwa wingi wa neema yake;


tena mwe wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkiachiliana, kama na Mungu katika Kristo alivyowaachilia ninyi.


mkichukuliana, na kuachiliana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mtu; jinsi Kristo alivyowaachilieni, vivyo hivyo na ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo