Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Wa kheri wasuluhishi: maana hawo watakwitwa wana wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Heri wenye kuleta amani, maana wataitwa watoto wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Heri wenye kuleta amani, maana wataitwa watoto wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Heri wenye kuleta amani, maana wataitwa watoto wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Heri walio wapatanishi, maana hao wataitwa wana wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Heri walio wapatanishi, maana hao wataitwa wana wa Mungu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:9
31 Marejeleo ya Msalaba  

illi mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni: maana yeye jua lake huwazushia waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Bassi mwe ninyi wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


kwa kuwa hawawezi kufa tena, maana huwa sawasawa na malaika; tena ni wana wa Mungu kwa kuwa wana wa ule ufufuo.


Bali wapendeni adui zenu, katendeni kwa ihsani, kopeshani, bali kutumaini kupata kitu tena: na thawabu yenu itakuwa nyingi, na mtakuwa wana wa Aliye juu sana; kwa sabahu Yeye yu mwema kwa watu wasio na shukrani, na waovu.


Siku ya pili yake akawatokea walipokuwa wakishindana, akataka kuwapatanisha, akisema, Enyi bwana zangu, ninyi m ndugu: Mbona mnadhulumiana?


Kama yumkini, kwa upande wenu, mwe na amani na watu wote.


Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho ya Mungu, hao ndio wana wa Mungu.


Roho yenyewe hushuhudu pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu;


Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi siku ile watakayofunuliwa wanawa Mungu.


Bali mwashitakiana, ndugu na ndugu, tena mbele yao wasioamini.


Khatimae, ndugu, kwa kherini; mtimilike, mfarajike, nieni mamoja, mkae katika imani; na Mungu wa upendo na amani awe pamoja nanyi.


Bassi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anakusihini kwa vinywa vyetu: twawaombeni kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu.


Lakini matunda ya Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


BASSI nawasihini, mimi niliye mfungwa katika Bwana, mwenende kama inavyoustahili wito wenu mlioitiwa,


Namsihi Euodia, namsibi na Suntoke, wawe na nia moja katika Bwana.


mkichukuliana, na kuachiliana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mtu; jinsi Kristo alivyowaachilieni, vivyo hivyo na ninyi.


Fanyeni bidii kutafuta amani kwa watu wote, na utakatifu, ambao hapana mtu atakaemwona Mungu asipokuwa nao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo