Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Wa kheri walio na moyo safi; maana hawo watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Heri walio na moyo safi, maana hao watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Heri walio na moyo safi, maana hao watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:8
25 Marejeleo ya Msalaba  

wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.


Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule uso kwa uso: wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana jinsi ninavyojuliwa na mimi sana.


BASSI, kwa kuwa tuna ahadi hizo, wapenzi, tujitakase nafsi zelu uchafu wote wa mwili na roho, tukitimiza utakatifu katika kumeha Mungu.


Vitu vyote ni sali kwao walio safi: lakini hapana kilicho safi kwa walio najis, wasioamini, bali akili zao na nia zao pia zimekuwa najis.


tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya, tumeoshwa mwili kwa maji safi.


Fanyeni bidii kutafuta amani kwa watu wote, na utakatifu, ambao hapana mtu atakaemwona Mungu asipokuwa nao;


bassi si zaidi damu yake Kristo, ambae kwamba kwa Roho ya milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo mawaa, itawasafisheni dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hayi?


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole,, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina wala unafiki;


Mkaribieni Mungu, nae atsiwakaribieni ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, kaisafisheni mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.


Mkiisha kujisafisha roho zenu kwa kuitii kweli, kwa Roho, kiasi cha kuufikilia upendano usio na unafiki, bassi jitahidini kupendana kwa moyo;


Na watumishi wake watamtumikia; nao watamwona uso wake, na jina lake katika vipaji vya nyuso zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo