Mathayo 5:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Wa kheri wenye njaa na kiu ya haki: maana hawo watashiba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watatoshelezwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watatoshelezwa. Tazama sura |