Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Wa kheri wenye njaa na kiu ya haki: maana hawo watashiba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watatoshelezwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watatoshelezwa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:6
29 Marejeleo ya Msalaba  

Wenye njaa amewashibisha mema; Wenye mali amewaondoa mikono mitupu


M kheri ninyi mnaoona njaa sasa: kwa subabu mtashiba. M kheri ninyi mliao sasa: kwa sababu mtacheka.


Ole wenu ninyi mlioshiba: kwa sababu mtaona njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka sasa: kwa sababu mtaomboleza na kulia.


walakini ye yote atakaekunywa maji yale nitakayompa mimi, hataona kiu milele, bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika hatta uzima wa milele.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hatta uzima wa milele, Mwana wa Adamu atakachowapeni: maana huyu ndiye aliyetiwa muhuri na Baba, yaani, Mungu.


Hatta siku ya mwisho, siku ile kubwa ya siku kuu, Yesu akasimama, akapaaza sauti yake, akinena, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe.


Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu tena, wala jua halitawapiga, wala hari iliyo yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo