Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Wa kheri wenye upole: maana hawo watairithi inchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Heri walio wapole, maana watairithi nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Heri walio wapole, maana watairithi nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Heri walio wapole, maana watairithi nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Heri walio wapole, maana hao watairithi nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Heri walio wapole, maana hao watairithi nchi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:5
30 Marejeleo ya Msalaba  

Jitieni nira yangu, jifunzeni kwa mfano wangu; kwa kuwa mimi ni mpole na moyo wangu umenyenyekea: nanyi mtapata raha rohoni mwenu;


Mwambieni binti Sayuni, Tazama, mfalme wako anakuja kwako, Mpole, amepanda punda, Na mwana punda, mtoto wa punda.


Kwa maana ahadi ile ya kwamba atakuwa mrithi ulimwengu alipewa Ibrahimu na uzao wake, si kwa sharia bali kwa wema aliopata kwa imani.


upole, kiasi; juu ya mambo ya jinsi hii hapana sharia.


kwa unyenyekevu wote na upole, kwa uvumilivu, mkichukuliana katika upendano;


Bassi, kwa kuwa mu wateule wa Mungu, watakatifu na wapendwao, vaeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu,


Bali wewe, mtu wa Mungu, yakimbie hayo, ukafuate haki, utawa, imani, upendo, uvumilivu, upole.


akiwaonya kwai npole washindanao nae, illi, kama ikiwezekana, Mungu awape kutubu na ujuzi wa kweli,


wasimtukane mtu, wasiwe wagomvi, wawe wema, wakionyesha upole wote kwa watu wote.


Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, kapokeeni kwa upole neno lililopandwa, liwezalo kuokoa roho zenu.


Nani aliye na hekima na fahamu kwenu? Na aonyeshe kazi zake kwa mwenendo wake mzuri, katika upole wa hekima.


bali mtakaseni Kristo Bwana mioyoni mwenu; mwe tayari siku zote kumjibu killa mtu akuulizae khabari za tumaini lililo ndani yenu; kwa upole na kwa khofu,


bali mtu wa moyoni asiyeonekana, katika jambo lisiloharibika; ni roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo