Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 Na mtu atakae kukushtaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue pia koti lako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue pia koti lako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue pia koti lako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Kama mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:40
5 Marejeleo ya Msalaba  

bali mimi nawaambieni, Msishindane na mtu mwovu; bali mtu akupigae shavu la kuume, mgeuzie na la pili.


Na mtu atakaekutumikisha maili moja, nenda nae mbili.


Akupigae shavu moja, umgeuzie la pili, nae akunyangʼanyae joho yako usimzuilie na kanzu.


Bassi imekuwa upungufu kwenu kabisa kwamba mnashitakiana ninyi kwa ninyi. Maana si afadhali kudhulumiwa? Maana si afadhali kunyangʼanywa mali zenu?


Lakini mtu awae yote akiona ya kuwa hamtendei bikira wake vipendezavyo, na ikiwa amepita uzuri wa ujana wake, na kama pana haja, bassi, afanye apendavyo, hafanyi dhambi; na waoane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo