Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Wa kheri wenye huzuni: maana hawo watafarajika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Heri wale wanaohuzunika, maana hao watafarijiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Heri wale wanaohuzunika, maana hao watafarijiwa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:4
34 Marejeleo ya Msalaba  

Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kuwa ulipokea mema yako katika maisha yako, na Lazaro kadhalika mabaya; lakini sasa yeye yupo hapa anafarajiwa, nawe unanmizwa.


M kheri ninyi mnaoona njaa sasa: kwa subabu mtashiba. M kheri ninyi mliao sasa: kwa sababu mtacheka.


Ole wenu ninyi mlioshiba: kwa sababu mtaona njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka sasa: kwa sababu mtaomboleza na kulia.


akasimama nyuma karibu na miguu yake, akilia, akaanza kumchuruzia miguu kwa machozi yake, na kuipangusa kwa nywele za kichwa chake akibusu sana miguu yake, na kuipaka yale marhamu.


Akamwambia yule mwanamke, Imani yako imekuokoa; enenda zako kwa amani.


Yu kheri astahimiliye majaribu; kwa sababu akipata kibali ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.


Nae atafuta killa chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena: wala maombolezo, wala kilio, wala taabu haitakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo