Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Waliambiwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe khati ya talaka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 “Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 “Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je, ni halali mtu kumwacha mkewe kwa killa sababu?


Wakamwambia, Jinsi gani bassi Musa aliamuru kumpa khati ya talaka, na kumwacha?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo