Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Wa kheri walio maskini wa roho; maana ufalme wa mbinguni ni wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 “Heri walio maskini rohoni, maana ufalme wa mbinguni ni wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 “Heri walio maskini rohoni, maana ufalme wa mbinguni ni wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 “Heri walio maskini rohoni, maana ufalme wa mbinguni ni wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 “Heri walio maskini wa roho, maana ufalme wa mbinguni ni wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 “Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:3
55 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule Yesu akajibu akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na inchi, kwa kuwa uliwaficha haya wenye hekima na busara, ukawafunulia wadogo:


Na yu kheri ye yote asiyechukiwa nami.


Lakini ya kheri macho yenu, kwa kuwa yanaona; na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia.


Lakini Yesu akasema, Waacheni vitoto, wala msiwakataze kuja kwangu; kwa maana walio mfano wa hawo, ufalme wa mbinguni ni wao.


Yu kheri mtumishi yule, ambae bwana wake ajapo atamkuta akifanya hivi.


Kisha Mfalme atawaambia wale walio mkono wake wa kuume, Njoni, mliobarikiwa wa Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tangu kuumbwa ulimwengu:


Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Nami nawaambieni, ya kwamba wengi watakuja kutoka mashariki na magbaribi, wataketi pamoja na Ibrabimu, na Isaak, na Yakob katika ufalme wa mbinguni;


Lakini Yesu alipoona akachukiwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wachanga waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawo ufalme wa mbinguni ni wao.


Lakini yeye akasema, Bali afadhali wa kheri wenye kulisikia neno la Mungu na kulishika.


Nawaambia ninyi, huyu alishuka nyumbani kwake amepata kibali kuliko yule: kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.


Nanyi ndinyi mliodumu pamoja nami katika majaribu yangu. Nami nawawekea ninyi ufalme, kama alivyoniwekea Baba yangu;


mpate kula na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu, na kuketi katika viti vya enzi, mkiwahukumu kabila thenashara za Israeli.


Roho ya Bwana ni juu yangu, Kwa sababu amenitia mafuia kuwakhubiri maskini khabari njema. Amenituma kuwaponya waliopondeka moyo, Kuwatangazia wafungwa kufunguliwa, na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha wa huru waliosetwa,


Yesu amwambia, Kwa kuwa umeniona, umeamini; wa kheri wasioona wakaamini.


na tajiri kwa kuwa ameshushwa: kwa maana kama ua la majani atatoweka.


Yu kheri astahimiliye majaribu; kwa sababu akipata kibali ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.


Sikihzeni, ndugu niwapendao, Mungu hakuwachagua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wampendao?


Akaniambia, Andika, Wa kheri walioitwa kwa karamu ya arusi ya Mwana Kondoo. Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya kweli ya Mungu.


Wa kheri wazifuazo nguo zao, wawe na amri kuuendea mti wa uzima, na kuuingia mji kwa milango yake.


Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u maskini, na mtu wa kuhurumiwa, na mhitaji, na kipofu, na nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo