Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Mmesikia watu wa kale walivyoanibiwa, Usiue; na mtu akiua, itampasa hukumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 “Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 “Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:21
19 Marejeleo ya Msalaba  

Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usizini:


Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usifanye zuli, bali mtimizie Bwana nyapo zako;


Mmesikia walivyoambiwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino:


Mmesikia walivyoambiwa, Mpende jirani yako, na, Mchukie adui yako:


Killa amchukiae ndugu yake ni mwuaji: nti mnajua ya kuwa mwuaji bana uzima wa milele ukikaa ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo