Mathayo 5:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192121 Mmesikia watu wa kale walivyoanibiwa, Usiue; na mtu akiua, itampasa hukumu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 “Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 “Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’ Tazama sura |