Mathayo 5:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Wa kheri wateswao kwa ajili ya haki: maana ufalme wa mbinguni ni wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu, maana ufalme wa mbinguni ni wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu, maana ufalme wa mbinguni ni wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu, maana ufalme wa mbinguni ni wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Heri wanaoteswa kwa sababu ya haki, maana ufalme wa mbinguni ni wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Heri wanaoteswa kwa sababu ya haki, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao. Tazama sura |