Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 4:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Hizi zote nitakupa, ukianguka kunisujudia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 akamwambia, “Hivi vyote nitakupa kama ukipiga magoti na kuniabudu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 akamwambia, “Hivi vyote nitakupa kama ukipiga magoti na kuniabudu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 akamwambia, “Hivi vyote nitakupa kama ukipiga magoti na kuniabudu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote ukinisujudia na kuniabudu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:9
21 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Nini mtakayonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vijiande thelathini vya fedha.


Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo, sasa mkuu wa ulimwengu him atatupwa nje.


bassi Yesu akijua ya kuwa Baba amempa vyote mikononi mwake, na ya kuwa alitoka kwa Mungu, na anakwenda kwa Mungu,


Sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana mkuu wa ulimwengu anakuja, wala hana kitu kwangu:


kwa khabari ya hukumu, kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amehukumiwa.


ambao mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.


si mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna, akaanguka katika hukumu ya Shetani.


Nikaanguka mbele ya miguu yake, nimsujudie, akaniambia, Angalia, usifanye hivi: mimi mjoli wako na mmoja wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudu Mungu: kwa maana ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.


Nae ana jina limeandikwa katika vazi lake mi paja vake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo