Mathayo 4:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, illa kwa killa neno litokalo katika kinywa cha Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Lakini Isa akajibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Lakini Isa akajibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’ ” Tazama sura |