Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 4:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, illa kwa killa neno litokalo katika kinywa cha Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Lakini Isa akajibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Lakini Isa akajibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’ ”

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:4
26 Marejeleo ya Msalaba  

Sicho kiingiacho kinywani kimtiacho najis mwana Adamu; bali kitokacho kinywani ndicho kimtiacho najis mwana Adamu.


Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


Yesu akamwambia. Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.


Akanena, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho najis.


Yesu akajibu akamwambia, Imenenwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.


Yesu akamjibu, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, hali kwa killa neno la Mungu.


Yesu akamwambia, Nenda zako nyuma yangu, Shetani: maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


Lakini ajapo Mfariji, nitakaewapelekea toka kwa Baba, Roho ya kweli atokae kwa Baba, yeye atanishuhudia.


Roho ndiyo itiayo uzima; mwili haufai kitu; maneno ninayowaambieni ni roho, tena ni uzima.


Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa kutufundisha sisi, illi kwa uvumilivu na faraja ya maandiko tupate kuwa na tumaini.


Tena ipokeeni chepeo ya wokofu, na upanga wa Roho, ndio neno la Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo