Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 4:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wii watu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Basi, akawaambia, “Nifuateni, nami nitawafanya nyinyi wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Basi, akawaambia, “Nifuateni, nami nitawafanya nyinyi wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Basi, akawaambia, “Nifuateni, nami nitawafanya nyinyi wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Isa akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Isa akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:19
17 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu atakae kuandama nyuma yangu, ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake, anifuate.


Yesu akamwambia, Ukitaka kuwa mkamilifu, enenda ukauze mali zako, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kiisha njoo unifuate.


Nae Yesu akitembea kando ya bahari ya Galilaya, akaona ndugu wawili, Simon aitwae Petro, na Andrea ndugu yake, wakitupa jarife baharini; maana walikuwa wavuvi.


Marra wakaziacha nyavu, wakamfuata.


Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.


Yesu alipokuwa anaondoka kutoka huko akaona mtu amekeli fordhani, aitwae Mattayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.


Hatta alipokuwa akipita akamwona Lawi wa Alfayo, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate. Akaondoka akamfuata.


Baada ya haya akatoka, akaona mtoza ushuru, jina lake Lawi, amekaa forodhani, akamwambia, Nifuate.


Akamwambia mwingine, Nifuate. Akasema, Bwana, nipe rukhusa niende kwanza, nikamzike baba yangu.


Siku ya pili yake Yesu akataka kuondoka kwenda Galilaya, akamwona Filipo, akamwambia, Nifuate.


Mtu akinitumikia, anifuate: nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo; tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.


Yesu akamwambia, Nikitaka huyu akae hatta nijapo imekukhusu nini? wewe unifuate mimi.


Lakini na iwe hivyo, mimi sikuwalemea; bali kwa kuwa mwerevu naliwapata kwa hila.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo