Mathayo 4:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 Tokea wakati huo Yesu akaanza kukhubiri, na kusema, Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema, “Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekariia!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema, “Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekariia!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema, “Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekariia!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Tangu wakati huo, Isa alianza kuhubiri akisema: “Tubuni, kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Tangu wakati huo, Isa alianza kuhubiri akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.” Tazama sura |