Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 4:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 illi litimie neno lililonenwa na Nabii Isaya, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 ili kutimiza neno lililonenwa na nabii Isaya, aliposema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 ili kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama alivyosema:

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:14
15 Marejeleo ya Msalaba  

Haya yote yamekuwa, illi litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akinena,


akawa huko mpaka alipokufa Herode: illi litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nalimwita mwaua wangu.


akaenda, akakaa mji uliokwitwa Nazareti: illi litimie neno lililonenwa na manabii, Atakwitwa Mnazorayo.


Yatatimizwaje bassi maandiko, kwamba hivyo ndivyo vilivyopasa kuwa?


Lakini jambo hili lote limekuwa, illi maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia.


akatoka Nazareti, akaenda, akakaa Kapernaum, ulioko pwani, mipakani mwa Zabulon na Nafthalim:


Inchi ya Zabulon na inchi ya Nafthalim, Njia ya bahari ngʼambu ya Yordani, Galilaya ya mataifa,


illi litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema, Mwenyewe alitwaa magonjwa yetu, na kuchukua maradhi zetu.


Kwa maana nawaambieni, Hili lililoandikwa halina buddi kutimizwa kwangu, Alihesabiwa pamoja na maasi; kwa maana linipasalo lina mwisho.


Akawaambia, Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambieni, nilipokuwa kwenu, ya kuwa hayana buddi kutimizwa yote niliyoandikiwa katika torati ya Musa, na katika manabii, na katika zaburi.


Lakini litimie neno lililoandikwa katika sharia yao, Walinichukia burre.


Baada ya haya Yesu, akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizwa, andiko litimizwe, akasema, Nina kiu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo