Mathayo 4:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, akaenda zake hatta Galilaya; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Isa aliposikia kwamba Yahya alikuwa amefungwa gerezani, alirudi Galilaya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Isa aliposikia kwamba Yahya alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya. Tazama sura |