Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 4:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Kisha Shetani akamwacha; wakaja malaika wakamtumikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu sasa hivi, akaniletea zaidi ya majeshi thenashara ya malaika?


Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini: kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake: Mikononi mwao watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.


Akawako huko jangwani siku arubaini, akijaribiwa na Shetani; nae alikuwa pamoja na nyama wakali, na malaika walikuwa wakimkhudumia.


Akamtokea malaika toka mbinguni akimtia nguvu.


Killa siku nilipokuwa pamoja nanyi hekaluni hamkuninyoshea mikono; lakini saa yenu hii, na mamlaka ya giza.


Hatta alipomaliza killa jaribu Shetani akaondoka kwake kwa muda.


Sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana mkuu wa ulimwengu anakuja, wala hana kitu kwangu:


Na bila shaka siri ya utawa ni kuu. Mungu alidhibirishwa katika mwili, alihesabiwa kuwa na wema katika roho, alionekana na malaika, alikhubiriwa katika mataifa, aliaminiwa katika ulimwengu, alichukuliwa juu katika utukufu.


Hawo wote si roho zitumikazo, wakitumwa kuwakhudumu wale watakaourithi wokofu?


Hatta amletapo tena mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, anena, Na malaika wote wa Mungu wamsujudu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo