Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 3:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 wakabatizwa nae mtoni Yordani, wakiziungama dhambi zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Nao wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika Mto Yordani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Nao wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika Mto Yordani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 3:6
35 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nawabatizeni katika maji mpate kutubu: bali yeye ajae nyuma yangu ni hodari kuliko mimi, wala sistahili hatta kuchukua viatu vyake; yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.


Wakamwendea inchi yote ya Yahudi, nao wa Yerusalemi, wakabatizwa nae katika mto Yardani, wakiziungama dhambi zao.


Na wengi katika wana wa Israeli atawarejeza kwa Bwana Mungu wao.


Yohana akajibu, akawaambia wote, Mimi nawabatiza kwa maji, lakini yuaja aliye hodari kuliko mimi, ambae kwamba mimi sistahili kumfungulia ukanda wa viatu vyake; yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto:


ya kwamba Yohana alibatiza kwa maji, bali ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu baada ya siku hizi si nyingi.


Nikalikumbuka neno lile la Bwana, jinsi alivyosema, Yohana alibatiza kwa maji, bali ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.


Na wengi wa wale walioamini wakaja wakaungama, wakidhihirisha matendo yao.


Bassi sasa, unakawiliani? Simama ubatizwe ukaoshe dhambi zako, ukiliitia jina la Bwana.


wote wakabatizwa kwa Musa katika wingu na katika bahari;


mkizikwa pamoja nae katikti ubatizo, katika huo mlifufuliwa pamoja nae, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.


na mafundisbo ya mabatizo, na kuwekea mikono, na kufufuliwa wafu, na hukumu ya milele.


kwa kuwa ni sharia za jinsi ya mwili tu, vyakula na vinywaji na kutawadha kwingine kwingine, zilizoamriwa hatta wakati wa matengenezo mapya.


Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.


Mfano wa mambo haya ni ubatizo, nnaowaokoa na ninyi siku hizi; (sio kuwekea, mbali uchafu wa mwili, bali jibu la dhamiri safi mbele za Mungu), kwa kufufuka kwake Yesu Kristo;


Tukiziungama dhambi zetu, yu amini na wa haki atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha udhalimu wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo