Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 28:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Na kwa kumwogopa walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wale walinzi wa kaburi walimwogopa sana, wakatetemeka hata wakawa kama wafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wale walinzi wa kaburi walimwogopa sana, wakatetemeka hata wakawa kama wafu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 28:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipokuwa wakienda njiani, baadhi ya askari waliingia mjini, wakawapasha makuhani wakuu khabari za mambo yote yaliyotendeka.


Na sura yake ilikuwa kama umeme, na mavazi yake meupe kama thuluji.


Malaika akajibu, akawaambia wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa maana najua ya kuwa mnanitafuta Yesu aliyesulibiwa.


Akataka taa ziletwe, akarukia ndani, akitetemeka kwa khofu, akawaangukia miguu Paolo na Sila;


Na nilipomwona nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akiniambia, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo