Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 28:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Na sura yake ilikuwa kama umeme, na mavazi yake meupe kama thuluji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Sura ya huyo malaika ilikuwa kama umeme, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Sura ya huyo malaika ilikuwa kama umeme, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura Nakili




Mathayo 28:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

akageuka sura yake mbele yao: uso wake ukangʼaa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru.


Na kwa kumwogopa walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.


Na wakiingia kaburini wakaona kijana ameketi upande wa kuume, amevaa vazi jeupe: wakastaajabu.


akageuka sura yake mbele yao: mavazi yake yakawa yakimetameta, meupe kwa mfano wa thuluji, jinsi asivyoweza fundi duniani kuyafanya meupe.


akaona malaika wawili, wenye mavazi meupe, wameketi, mmoja kichwani, na mmoja miguuni, hapo ulipowekwa mwili wa Yesu.


Walipokuwa wakikaza macho mbinguni, yeye alipokuwa akienda zake, watu wawili wakasimama karibu nao, wenye nguo nyeupe,


NIKAONA malaika mwingine hodari akishuka kutoka mbinguni, amevikwa wingu; na upinde wa mvua juu ya kichwa chake: na uso wake kama jua, na miguu yake kama nguzo za moto.


BAADA ya haya nalioua malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni, mwenye mamlaka kuu, inchi ikaangazwa kwa utukufu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo