Mathayo 28:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Na wale wanafunzi edashara wakaenda Galilaya hatta mlima ule aliowaagiza Yesu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda Galilaya kwenye ule mlima aliowaagizia Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda Galilaya kwenye ule mlima aliowaagizia Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda Galilaya kwenye ule mlima aliowaagizia Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Basi wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda hadi Galilaya kwenye ule mlima ambao Isa alikuwa amewaagiza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Basi wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda hadi Galilaya kwenye ule mlima ambao Isa alikuwa amewaagiza. Tazama sura |