Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 28:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Na jambo hili likisikilikana kwa liwali, tutasema nae, nanyi tutawaondoa shaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa nyinyi hamtapata matatizo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa nyinyi hamtapata matatizo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa nyinyi hamtapata matatizo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kama habari hizi zikimfikia mtawala, sisi tutamwondolea mashaka nanyi hamtapata tatizo lolote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kama habari hizi zikimfikia mtawala, sisi tutamwondolea mashaka nanyi hamtapata tatizo lolote.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 28:14
3 Marejeleo ya Msalaba  

wakamfunga, wakamchukua, wakampeleka kwa liwali Pontio Pilato.


wakinena, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala.


Na Herode alipomtafuta, asimwone, akawauliza walinzi, akaamuru wanawe. Nae akatelemka kutoka Yahudi kwenda Kaisaria, akakaa huko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo