Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 28:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 wakinena, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 wakisema, “Nyinyi mtasema hivi: ‘Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 wakisema, “Nyinyi mtasema hivi: ‘Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 wakisema, “Nyinyi mtasema hivi: ‘Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 wakawaambia, “Semeni, ‘Wanafunzi wake walikuja wakati wa usiku na kumwiba sisi tulipokuwa tumelala.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 wakiwaambia, “Inawapasa mseme, ‘Wanafunzi wake walikuja wakati wa usiku na kumwiba sisi tulipokuwa tumelala.’

Tazama sura Nakili




Mathayo 28:13
3 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamwambia. Wewe umesema: lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwoua Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu.


Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi,


Na jambo hili likisikilikana kwa liwali, tutasema nae, nanyi tutawaondoa shaka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo