Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Ndipo likatimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema, Wakavitwaa vipande thelathini vya fedha, kima chake aliyetiwa kima, ambae watu miongoni mwa wana wa Israeli walimtia kima;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Hivyo maneno ya nabii Yeremia yakatimia: “Walichukua vipande thelathini vya fedha, thamani ya yule ambaye watu wa Israeli walimtia bei,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Hivyo maneno ya nabii Yeremia yakatimia: “Walichukua vipande thelathini vya fedha, thamani ya yule ambaye watu wa Israeli walimtia bei,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Hivyo maneno ya nabii Yeremia yakatimia: “Walichukua vipande thelathini vya fedha, thamani ya yule ambaye watu wa Israeli walimtia bei,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ndipo likatimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, kwamba, “Walichukua vile vipande thelathini vya fedha, thamani aliyowekewa na watu wa Israeli,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ndipo likatimia lile lililonenwa na nabii Yeremia, kwamba, “Walichukua vile vipande thelathini vya fedha, thamani aliyopangiwa na watu wa Israeli,

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Haya yote yamekuwa, illi litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akinena,


Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema,


akasema, Nini mtakayonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vijiande thelathini vya fedha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo