Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Kwa hiyo konde lile linakwitwa konde la damu, hatta leo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ndio maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ndio maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ndio maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Hii ndiyo sababu lile shamba likaitwa Shamba la Damu hadi leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Hii ndiyo sababu lile shamba likaitwa Shamba la Damu hadi leo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafanya shauri, wakavitumia kwa kununua konde la mfinyangi liwe mahali pa kuzikia wageni.


Bassi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Na neno lile likaenea katika Wayahudi hatta leo.


Ikajulikana na watu wote wakaao Yerusalemi; hatta konde lile likaitwa kwa lugha yao Akeldama, maana yake, konde la damu.)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo