Mathayo 27:66 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192166 Wakenda zao, wakalilinda sana kaburi, wakilitia lile jiwe muhuri, pamoja na wale askari walinzi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema66 Basi, wakaenda, wakalilinda kaburi, wakatia mhuri juu ya lile jiwe na kuacha hapo askari walinzi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND66 Basi, wakaenda, wakalilinda kaburi, wakatia mhuri juu ya lile jiwe na kuacha hapo askari walinzi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza66 Basi, wakaenda, wakalilinda kaburi, wakatia mhuri juu ya lile jiwe na kuacha hapo askari walinzi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu66 Hivyo basi wakaenda na walinzi ili kulilinda kaburi kwa uthabiti, wakatia muhuri kwenye lile jiwe na kuweka ulinzi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu66 Kwa hiyo wakaenda na walinzi ili kulilinda kaburi kwa uthabiti, wakatia muhuri kwenye lile jiwe na kuweka ulinzi. Tazama sura |