Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:60 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

60 akanweka katika kaburi lake jipya, alilolikata mwambani; akafingirisha jiwe kubwa hatta mlango wa kaburi, akaenda zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

60 akauweka ndani ya kaburi lake jipya alilokuwa amelichonga katika mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

60 akauweka ndani ya kaburi lake jipya alilokuwa amelichonga katika mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

60 akauweka ndani ya kaburi lake jipya alilokuwa amelichonga katika mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

60 na kuuweka katika kaburi lake mwenyewe jipya, alilokuwa amelichonga kwenye mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa katika ingilio la kaburi, akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

60 na kuuweka katika kaburi lake mwenyewe jipya, alilokuwa amelichonga kwenye mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa katika ingilio la kaburi, akaenda zake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:60
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yusuf akautwaa mwili, akauzinga katika kitambaa cha kitani safi,


Wakenda zao, wakalilinda sana kaburi, wakilitia lile jiwe muhuri, pamoja na wale askari walinzi.


Na kumbe! palikuwa na tetemeko kubwa la inchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka mbinguni, akakaribia akalifingirisha lile jiwe mbali ya mlango, akaketi juu yake.


Wakalikuta lile jiwe limefingirishwa mbali ya kaburi.


Bassi Yesu akiugua tena nafsini mwake akatika kaburini. Nalo lilikuwa pango, na jiwe limewekwa juu yake.


Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.


Na mahali pale aliposulibiwa palikuwa na bustani; na ndani ya bustani kaburi jipya, bado hajatiwa mtu aliye yote ndani yake.


HATTA siku ya kwanza ya sabato Mariamu Magdalene akaenda kaburini alfajiri, kungali giza bado, akaliona jiwe limeondolewa kaburini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo