Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:57 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

57 Ilipokuwa jioni akafika mtu tajiri wa Arimathaya, jina lake Yusuf, nae mwenyewe alikuwa mwanafunzi wa Yesu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

57 Ilipokuwa jioni, akaja mtu mmoja tajiri mwenyeji wa Arimathaya, jina lake Yosefu. Yeye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

57 Ilipokuwa jioni, akaja mtu mmoja tajiri mwenyeji wa Arimathaya, jina lake Yosefu. Yeye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

57 Ilipokuwa jioni, akaja mtu mmoja tajiri mwenyeji wa Arimathaya, jina lake Yosefu. Yeye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

57 Ilipofika jioni, alifika mtu mmoja tajiri kutoka Arimathaya aitwaye Yusufu, ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

57 Ilipofika jioni, alifika mtu mmoja tajiri kutoka Arimathaya aitwaye Yusufu, ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa Isa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:57
9 Marejeleo ya Msalaba  

mtu huyu alimwendea Pilato, akauomba mwili wa Yesu. Pilato akaamuru apewe mwili wake.


Wauafunzi wake waliposikia khabari, wakaenda, wakachukua mayiti yake, wakamzika.


Hatta walipomaliza yote aliyoandikiwa, wakamshusha katika mti, wakamweka kaburini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo