Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:51 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

51 Na tazama pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hatta chini: inchi ikatetema; miamba ikapasuka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

51 Hapo pazia la hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

51 Hapo pazia la hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

51 Hapo pazia la hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

51 Wakati huo huo pazia la Hekalu likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi chini. Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

51 Wakati huo huo pazia la Hekalu likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi chini. Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:51
26 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi yule akida, nao walio pamoja nae wakimwangalia Yesu, walipoliona tetemeko la inchi na mambo yaliyofanyika, wakaogopa sana, wakinena, Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.


Na kumbe! palikuwa na tetemeko kubwa la inchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka mbinguni, akakaribia akalifingirisha lile jiwe mbali ya mlango, akaketi juu yake.


Pazia la patakatifu likapasuka vipande viwili toka juu hatta chini.


jua likipunguka: pazia ya hekalu ikapasuka katikati.


Akida alipoona lililokuwa, akamtukuza Mungu, akisema, Kwa kweli mtu huyu alikuwa mwenye haki.


tuliyo nayo kama nanga ya roho, yenye salama, yenye nguvu, yaingiayo mle mlimo ndani ya pazia,


Na nyuma ya pazia la pili, ile khema iitwayo Patakatifu pa patakatifu,


Na katika saa ile palikuwa na tetemeko la inchi, nalo kubwa, na sehemu ya kumi ya mji ikaanguka, wana Adamu elfu saba wakauawa katika tetemeko lile. Na waliosalia wakaingiwa na khofu wakamtukuza Mungu wa mbingu.


Hekalu ya Mungu ikafunguliwa mbinguni na sanduku la agano likaonekana ndani ya hekalu yake. Kukawa umeme, na sauti, na radi, na tetemeko, na mvua ya mawe uyingi sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo