Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:47 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

47 Baadhi yao waliosimama huko, waliposikia, wakanena, Huyu anamwita Elia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, “Anamwita Elia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, “Anamwita Elia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, “Anamwita Elia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama pale waliposikia hayo, wakasema, “Anamwita Ilya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama pale waliposikia hayo, wakasema, “Anamwita Ilya.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:47
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na ikiwa mantaka kukubali, yeye ndiye Elia atakaekuja.


Na kama saa tissa, Yesu akapaaza sauti yake kwa nguvu akinena, Eli, Eli, lama sabakhthani? maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?


Marra mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya unyasi, akamnywesha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo